Tarehe 22-28/07
1 TIMOTEO 1-3
Wimbo 103 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ndugu, Mujikaze Kufikia Kazi ya Muzuri”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha 1 Timoteo.]
1Ti 3:1—Ndugu wanatiwa moyo wajikaze kuwa waangalizi (w16.08 uku. 16 fu. 3)
1Ti 3:13—Ndugu wenye wanatumikia kwa njia ya muzuri wanapata baraka mingi (km 12/78 uku. 4 fu. 7)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
1Ti 1:4—Juu ya nini Paulo alishauria Timoteo asijiingize mu mambo ya vizazi? (it-1-F uku. 980 fu. 2)
1Ti 1:17—Juu ya nini Yehova tu njo mwenye anaweza kuitwa “Mufalme wa umilele”? (cl uku. 12 fu. 15)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 1Ti 2:1-15 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 2)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) lvs uku. 47-48 fu. 6-7 (th somo ya 6)
MAISHA YA MUKRISTO
Vijana Wenye Kutumika Warwick Wanamuheshimia Yehova: (Dak. 6) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha muzungumuzie hii maulizo:
Namna gani ndugu na dada vijana walisaidia ku kazi ya kujenga Beteli ya Warwick na walipata baraka gani?
Ndugu na dada vijana wanaweza kufanya nini mu kutaniko juu ya kuheshimia Yehova?
“Mifano Yao Inakufundisha Nini?”: (Dak. 9) Mazungumuzo. Muangalie video Uwaheshimia Ndugu Wenye Uzoefu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 76
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 115 na Sala