Kuko Mambo Gani ya Sasa?
USHUHUDA
DeJanerio Brown: Navunjwa Lakini Siharibiwe
Yehova anasaidia namna gani wale wenye kupatwa na misiba ya kushitukia?
UMUSIKILIZE YESU
“Ufalme Wangu Hauko Sehemu ya Ulimwengu Huu”
Yesu alisema kama ni Ufalme wa Mungu tu njo itamaliza magumu yote ya banadamu; guvernema za banadamu haziwezi fanya vile. Ujifunze namna ile mufano inachochea bakristo leo.
MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO
Namna ya kujifunza—Tayarisha Majibu ya Kutia Moyo
Ona mambo ine yenye inaweza kukusaidia utayarishe majibu ya kutia moyo ku mikutano.
MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO
Musikilizane Bila Kukawia!
Kama tunakamata mipango ya kusikilizana na Mukristo mwenzetu bila kukawia, tunarudisha amani na tunalinda umoja mu kutaniko.
MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO
Ken Kiuchi: Namna Yehova Amenisaidia Nikuwe Mutu Muzuri Zaidi
Ken Kiuchi anaeleza namna Yehova alimusaidia akuwe mutu muzuri zaidi wakati alikuwa painia wa kawaida, wakati alikuwa ku beteli, na wakati amekuwa painia wa pekee.
MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO
Mwezi wa 7, 2026
Iyi gazeti iko na habari za kujifunza tarehe 7/9–4/10, 2026.
TRAKTE & MIALIKO
Mwaliko wa Mukusanyiko wa Eneo wa 2026
NYIMBO ZA PEKEE
Niko mu Mwangaza (Wimbo wa Mukusanyiko wa 2026)
Iyi wimbo inaonyesha gisi maneno ya Yesu inaletaka furaha na kusaidia mutu apiganishe mahangaiko na akuwe na tumaini.

