Yosefu Anaokoa Familia Yake Wakati wa Njaa
Leo, katika ulimwengu watu wengi wako na njaa ya kiroho. (Amo 8:11) Kupitia Kristo Yesu, Yehova anatutolea chakula mingi ya kiroho yenye kujenga.
-
Vichapo vyenye kutegemea Biblia
-
Mikutano ya kutaniko
-
Mikusanyiko
-
Habari za kusikiliza tu
-
Video mbalimbali
-
JW.ORG
-
JW Télédiffusion
Niko ninajiima mambo gani ili nikule kwa ukawaida chakula ya kiroho yenye Yehova anatutolea?