Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 1-7/6

MWANZO 44-45

Tarehe 1-7/6
  • Wimbo 130 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Yosefu Anasamehe Ndugu Zake”: (Dak. 10)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 44:13​—Kupasua manguo kulikuwa na maana gani? (it-1-F uku. 606)

    • Mwa 45:5-8​—Nini njo inaweza kutusaidia kuvumilia wakati tunatendewa bila haki? (w04 15/8 uku. 15 fu. 15)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 45:1-15 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 58

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)

  • Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Muangalie video ya Mwezi wa 6 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 117

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 19 na Sala