Tarehe 1-7/6
MWANZO 44-45
Wimbo 130 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yosefu Anasamehe Ndugu Zake”: (Dak. 10)
Mwa 44:1, 2—Yosefu alijaribu ndugu zake ili aone ikiwa wamebadilika (w15 1/5 uku. 14-15)
Mwa 44:33, 34—Yuda alimulilia Yosefu amuachilie Benyamini
Mwa 45:4, 5—Yosefu alimuiga Yehova kwa kusamehe ndugu zake
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 44:13—Kupasua manguo kulikuwa na maana gani? (it-1-F uku. 606)
Mwa 45:5-8—Nini njo inaweza kutusaidia kuvumilia wakati tunatendewa bila haki? (w04 15/8 uku. 15 fu. 15)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 45:1-15 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Kufundisha Kabisa Wasikilizaji Wako, kisha muzungumuzie somo ya 18 ya Broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isipite dak. 5) w06 1/2 uku. 31—Kichwa: Yosefu alitumia kikombe cha pekee cha feza ili kusoma ishara za bahati, kama vile inaweza kuonekana mu Mwanzo 44:5, 15? (th somo ya 18)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 58
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Muangalie video ya Mwezi wa 6 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 117
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 19 na Sala