Maana ya “Tukio la Mufano”
Mutume Paulo alitumia “tukio la mufano” juu ya kuonyesha kama agano jipya lilikuwa muzuri zaidi kuliko agano la Sheria. Wakati Kristo na wariti wenzake watatawala wanadamu kwa upendo, watu wote watakuwa na tumaini la kukombolewa katika zambi, kutokamilika, mateso, na kifo.—Isa 25:8, 9.
HAGARI—MUTUMWA MWANAMUKE Waisraeli wa kimwili wenye walikuwa chini ya agano la Sheria. Yerusalemu njo ilikuwa muji wao mukubwa |
SARA—MWANAMUKE MWENYE ALIKUWA HURU Yerusalemu la juu, ni kusema sehemu ya mbinguni ya tengenezo la Mungu |
“WATOTO” WA HAGARI Wayahudi (wenye walifanya agano la Sheria na Yehova) walitesa Yesu na kumukataa |
“WATOTO” WA SARA Kristo na Wakristo watiwa-mafuta 144 000 |
UTUMWA WA AGANO LA SHERIA Sheria ilikumbusha Waisraeli wa kimwili kama walikuwa watumwa wa zambi |
AGANO JIPYA LINAKOMBOA Kuonyesha imani mu bei ya ukombozi ya Yesu kunakomboa mutu mu laana ya Sheria |