Tarehe 16-22/11
MAMBO YA WALAWI 4-5
Wimbo 84 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Umutolee Yehova Kitu ya Muzuri Zaidi”: (Dak. 10)
Law 5:5, 6—Wale wenye walifanya zambi fulani, walipaswa kumuletea Yehova toleo la hatia, ni kusema mwana-kondoo ao mwana-mbuzi (it-2-F uku. 848 fu. 12)
Law 5:7—Wale wenye hawakukuwa na uwezo wa kupata mwana-kondoo ao mwana-mbuzi, walipawa kutoa njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo (w09-SW 1/6 uku. 26 fu. 3)
Law 5:11—Wale wenye hawakukwa hata na uwezo wa kupata njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo walipaswa kutoa sehemu moja ya kumi ya kipimo cha efa moja ya unga muzuri (w09-SW 1/6 uku. 26 fu. 4)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Law 5:1—Wakristo wanaweza kutumikisha namna gani hii andiko? (w16.02 uku. 24 fu. 14)
Law 5:15, 16—Namna gani mutu ‘alijiendesha kwa njia ya kukosa uaminifu kwa kutenda zambi bila kukusudia kwa kuvunja sheria kuhusu vitu vitakatifu vya Yehova’? (it-2-F uku. 861 fu. 8)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Law 4:27–5:4 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza, lakini tumikisha Isaya 9:6, 7. (th somo ya 12)
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza, lakini tumikisha Zaburi 72:16. (th somo ya 4)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) lvs uku. 209 fu. 22-23 (th somo ya 19)
MAISHA YA MUKRISTO
Tulifanya Pamoja Kazi ya Upainia kwa Miaka 60—Yehova tu njo Alitusaidia: (Dak. 15) Muangalie video. Kisha uliza hii maulizo: Ni mapendeleo na furaha gani yenye Takako na Hisako walipata mu mugawo wao? Takako alipata magumu gani ya afya, na nini njo ilimusaidia? Ni nini ilifanya wote wawili wakuwe na furaha ya kweli na wakuwe wenye kutosheka? Mambo yenye walikutana nayo inapatana namna gani na mawazo yenye kuwa mu hii maandiko: Mezali 25:11; Muhubiri 12:1; Waebrania 6:10?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Isipite dak. 30) rr “Barua Kutoka ku Baraza Lenye Kuongoza” na “Mafasirio ya Sehemu za Pekee za Kitabu Hiki”
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 95 na Sala