Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 16-22/11

MAMBO YA WALAWI 4-5

Tarehe 16-22/11
  •  Wimbo 84 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Umutolee Yehova Kitu ya Muzuri Zaidi”: (Dak. 10)

    • Law 5:5, 6​—Wale wenye walifanya zambi fulani, walipaswa kumuletea Yehova toleo la hatia, ni kusema mwana-kondoo ao mwana-mbuzi (it-2-F uku. 848 fu. 12)

    • Law 5:7​—Wale wenye hawakukuwa na uwezo wa kupata mwana-kondoo ao mwana-mbuzi, walipawa kutoa njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo (w09-SW 1/6 uku. 26 fu. 3)

    • Law 5:11​—Wale wenye hawakukwa hata na uwezo wa kupata njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo walipaswa kutoa sehemu moja ya kumi ya kipimo cha efa moja ya unga muzuri (w09-SW 1/6 uku. 26 fu. 4)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Law 5:1​—Wakristo wanaweza kutumikisha namna gani hii andiko? (w16.02 uku. 24 fu. 14)

    • Law 5:15, 16​—Namna gani mutu ‘alijiendesha kwa njia ya kukosa uaminifu kwa kutenda zambi bila kukusudia kwa kuvunja sheria kuhusu vitu vitakatifu vya Yehova’? (it-2-F uku. 861 fu. 8)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Law 4:27–5:4 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO