Tarehe 27/1–2/2
MWANZO 9-11
Wimbo 101 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Dunia Yote Iliendelea Kuwa na Luga Moja”: (Dak. 10)
Mwa 11:1-4—Watu fulani waliamua kujenga muji na munara, jambo lenye halikupatana na mapenzi ya Mungu (it-1 uku. 255; it-2 uku. 111 fu. 6)
Mwa 11:6-8—Yehova alivuruga luga yao (it-2 uku. 111 fu. 7)
Mwa 11:9—Watu waliacha kujenga na wakasambaa ku dunia (it-2 uku. 375)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 9:20-22, 24, 25—Pengine ni juu ya nini Noa alimulaani Kanaani kuliko kumulaani Hamu? (it-1 uku. 421 fu. 4)
Mwa 10:9, 10—Ni mu njia gani Nimrodi alikuwa “muwindaji mwenye nguvu na mwenye kumupinga Yehova”? (it-2 uku. 403)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 10:6-32 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video, kisha uliza wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Nini njo inaonyesha kama wahubiri walijitayarisha pamoja mbele ya kumurudilia ule mutu? Ndugu alifanya nini ili kumutolea kichapo kimoja chenye kuwa kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia na alifanya nini ili kuanzisha funzo la Biblia?
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 4)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia namna ya kumurudilia mutu mara ya pili, na kisha uanzishe funzo la Biblia kwa kutumia kitabu Biblia Inatufundisha Nini? (th somo ya 2)
MAISHA YA MUKRISTO
“Ukuwe Mufanyakazi Mwenye Ufundi”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Itolewe na mwangalizi wa utumishi.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 101
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 56 na Sala