Tarehe 13-19/1
MWANZO 3-5
Wimbo 72 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Matokeo ya Mubaya Sana ya Uongo wa Kwanza”: (Dak. 10 )
Mwa 3:1-5—Ibilisi alimusingizia Mungu (w17.02 uku. 5 fu. 9)
Mwa 3:6—Adamu na Eva hawakumutii Mungu (w00 15/11 uku. 25-26)
Mwa 3:15-19—Mungu alihukumu wale waasi (w12 1/9 uku. 4 fu. 2; w04 1/1 uku. 29 fu. 2; it-1 uku. 672)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 4:23, 24—Juu ya nini Lameki alitunga hii maneno? (it-2 uku. 105)
Mwa 4:26—Pengine ni katika njia gani watu wenye waliishi wakati wa Enoko walianza “kuitia jina la Yehova”? (it-1 uku. 352)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 4:17–5:8 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Mazungumuzo. Muangalie video, kisha uliza wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Nini njo ulifurahia katika utangulizi? Tunaweza kujifunza nini kutokana na wakati wenye wahubiri walipanga kumurudilia musikilizaji?
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 1)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo lenu. (th somo ya 3)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha umuachie mutu gazeti fulani la sasa lenye kuzungumuzia habari fulani yenye anapenda kujua. (th somo ya 2)
MAISHA YA MUKRISTO
“Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo kwa Kutumia Trakte”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie na kuzungumuzia video yenye inaonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo kwa kutumia trakte.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 99
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 85 na Sala