TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza
Ulizo: Tunajua namna gani kama mateso yetu haiko malipizi kutoka kwa Mungu?
Andiko: Yak 1:13
Ulizo la Kuachia Mutu: Juu ya nini tunateseka?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
Kumurudilia Mutu
Ulizo: Juu ya nini tunateseka?
Andiko: 1Yo 5:19
Ulizo la Kuachia Mutu: Mungu anajisikia namna gani wakati tunateseka?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA: