“Mwisho wa Mambo Yote Umekaribia”
Karibuni kutatokea taabu kubwa sana yenye haijatokeaka. Tunaweza kufanya nini ili tuendelee kuwa waaminifu leo na wakati wenye kuja?
-
Uendelee kusali, kwa kutumia aina zote za sala
-
Upende sana ndugu na dada zako Wakristo, na uwakaribie hata zaidi
-
Ukuwe mukaribishaji-wageni
UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kufanya nini ili kuonyesha kama ninapenda sana ndugu na dada zangu wa eneo langu na wa mu dunia yote na kuwaonyesha ukaribishaji-wageni?’