Zimetolewa Hivi Karibuni ku Ukurasa wa Kwanza
Siri 12 ili Kuwa na Familia Yenye Furaha
Kutumikisha kanuni hizo za Biblia kunaweza kukusaidia kuwa na familia yenye furaha.
Wanamuke Wenye Kuzungumuziwa mu Biblia Wanatufundisha Nini?
Ona tofauti kati ya wanamuke fulani wenye walikuwa mufano muzuri na wengine wenye walikuwa mufano mubaya kabisa.
Sababu Gani Yesu Alikufa?
Namna gani kwa kweli, kifo cha Yesu kinatulea faida?
Kuko Dawa ya Kumaliza Ubaguzi?
Kupiganisha ubaguzi kunapaswa kuanzia ndani ya moyo na akili yetu. Ona njia tano za kupiganisha ubaguzi.
Epuka Tabia ya Kujifikiria Mwenyewe
Watu mingi mu dunia wanawaza kama wanapaswa kupewa mapendeleo mingi zaidi na kutendewa muzuri zaidi kupita wengine. Ona kanuni fulani za Biblia zenye zinaweza kukusaidia kuepuka mawazo ya vile.
Namna ya Kupata Kweli
Biblia inatoa majibu ya kweli ku maulizo fulani ya maana sana katika maisha.
Kitulizo kwa Wale Wenye Kuwa na Mukazo
Mukazo unaendelea kuongezeka sana. Lakini kuko mambo mingi yenye unaweza kufanya ili kupata kitulizo.
Amani na Furaha
Biblia imesaidia watu wengi sana wapiganishe magumu yao ya kila siku, kupunguza mikazo ya kimwili na ya akili, na kuwa na maisha yenye furaha. Biblia inaweza kukusaidia na wewe ukuwe na furaha.
Imani Katika Mungu
Imani inaweza kukutia nguvu leo na kukupatia tumaini la kweli juu ya wakati wenye kuja.
Sayansi na Biblia
Biblia na sayansi vinapatana? Tutajifunza mambo mingi kama tunalinganisha mambo yenye Biblia inasema na mambo yenye wanasayansi wamevumbua.
Ndoa na Familia
Bibi na bwana, na familia wanakutana na magumu mingi. Mashauri ya Biblia inaweza kufanya familia ikuwe na furaha na inaweza kutia nguvu uhusiano kati ya watu wa familia.
Musaada kwa Ajili ya Vijana
Ona namna Biblia inaweza kusaidia vijana wapambane na magumu yenye inawafikia.