SEHEMU YA 2
Mwanzo wa Huduma ya Yesu
“Ona, Mwanakondoo wa Mungu Ambaye Huondoa Dhambi.”—Yohana 1:29
KATIKA SEHEMU HII
SURA YA 13
Jifunze Kutokana na Jinsi Yesu Alivyokabiliana na Vishawishi
Vishawishi alivyokabili Yesu vinathibitisha mambo mawili muhimu kumhusu Ibilisi.
SURA YA 14
Yesu Aanza Kufanya Wanafunzi
Ni nini kilichowasadikisha wanafunzi wa kwanza sita wa Yesu kwamba walikuwa wamempata Masihi?
SURA YA 15
Afanya Muujiza Wake wa Kwanza
Yesu amwonyesha mama yake kwamba sasa anaongozwa na Baba yake wa mbinguni bali si yeye.
SURA YA 16
Yesu Ana Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli
Sheria ya Mungu ilikubali watu wanunue wanyama huko Yerusalemu kwa ajili ya kutoa dhabihu, basi kwa nini Yesu aliwakasirikia wafanyabiashara hekaluni?
SURA YA 18
Yesu Aongezeka Naye Yohana Apungua
Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wana wivu, ingawa Yohana hana wivu.
SURA YA 19
Amfundisha Mwanamke Msamaria
Yesu anamwambia jambo ambalo inaonekana bado hajamwambia mtu yeyote.

