Privacy Settings

To provide you with the best possible experience, we use cookies and similar technologies. Some cookies are necessary to make our website work and cannot be refused. You can accept or decline the use of additional cookies, which we use only to improve your experience. None of this data will ever be sold or used for marketing. To learn more, read the Global Policy on Use of Cookies and Similar Technologies. You can customize your settings at any time by going to Privacy Settings.

Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 11

Je, Yehova Hutusikiliza?

Je, Yehova Hutusikiliza?

Mungu husikiliza sala zetu. 1 Petro 3:12

Kiti cha ufalme cha Yehova huko mbinguni

Yehova ni ‘Msikiaji wa sala.’ (Zaburi 65:2) Anataka tuzungumze naye kutoka moyoni.

Mtu akisali

Sali kwa Yehova, na si kwa mwingine yeyote.

Kuna mambo mengi tunayoweza kutaja katika sala. 1 Yohana 5:14

Yesu na wale 144,000 katika Ufalme

Sali mapenzi ya Mungu yatendeke mbinguni na duniani.

Sali katika jina la Yesu ili kuonyesha kwamba unathamini mambo aliyokufanyia.

Mwanamume Mkristo anamtegemea Yehova amsaidia kupata mahitaji yake na ya familia yake na pia kufanya mema

Mwombe Yehova akusaidie kufanya mema. Unaweza pia kusali kuhusu chakula, kazi, makao, mavazi, na afya.