SEHEMU YA 11
Je, Yehova Hutusikiliza?
Mungu husikiliza sala zetu. 1 Petro 3:12
Yehova ni ‘Msikiaji wa sala.’ (Zaburi 65:2) Anataka tuzungumze naye kutoka moyoni.
Sali kwa Yehova, na si kwa mwingine yeyote.
SEHEMU YA 11
Yehova ni ‘Msikiaji wa sala.’ (Zaburi 65:2) Anataka tuzungumze naye kutoka moyoni.
Sali kwa Yehova, na si kwa mwingine yeyote.