Privacy Settings

To provide you with the best possible experience, we use cookies and similar technologies. Some cookies are necessary to make our website work and cannot be refused. You can accept or decline the use of additional cookies, which we use only to improve your experience. None of this data will ever be sold or used for marketing. To learn more, read the Global Policy on Use of Cookies and Similar Technologies. You can customize your settings at any time by going to Privacy Settings.

Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ndugu akitumbukiza mchango katika sanduku la michango.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 29-30

Mchango wa Yehova

Mchango wa Yehova

30:11-16

Hema la ibada lilipojengwa, watu walipewa pendeleo la kutoa michango ya kifedha ili kutegemeza ibada ya Yehova, iwe walikuwa matajiri au maskini. Sisi tunaweza kumtoleaje Yehova mchango leo? Njia moja ni kwa kutegemeza kifedha Majumba ya Ufalme, Majumba ya Kusanyiko, ofisi za utafsiri, na ofisi za Betheli, kutia ndani majengo mengine yaliyowekwa wakfu kutumiwa katika ibada ya Yehova.

Tunajifunza nini kutokana na maandiko yafuatayo kuhusu kutoa michango ya kifedha ili kutegemeza ibada ya kweli?