Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 12-13

Nidhamu​—Uthibitisho wa Upendo wa Yehova

Nidhamu​—Uthibitisho wa Upendo wa Yehova

12:5-7, 11

Nidhamu humaanisha kupigwa, kurekebishwa, kuagizwa, na kuelimishwa. Kama baba mwenye upendo anavyowatia nidhamu watoto wake, Yehova hututia nidhamu. Tunatiwa nidhamu kupitia . . .

  • Usomaji wa Biblia, funzo la kibinafsi, kuhudhuria mikutano, na kutafakari

  • Shauri au rekebisho kutoka kwa mwamini mwenzetu

  • Matokeo ya makosa yetu

  • Kukaripiwa kihukumu au kutengwa

  • Majaribu au mateso ambayo Yehova anaruhusu.—w15 9/15 21 ¶13; it-1 629