Juni 14-20
KUMBUKUMBU LA TORATI 5-6
Wimbo 134 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Wazoeze Watoto Wako Kumpenda Yehova”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kum 5:21—Sheria dhidi ya kutamani inatufundisha nini? (w19.02 22 ¶11)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 5:1-21 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwonyeshe jinsi funzo la Biblia linavyoongozwa na utoe utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia? (lakini usionyeshe video). (th somo la 9)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Badilisha utoaji wako kulingana na mahitaji ya mwenye nyumba, na tumia andiko linalofaa. (th somo la 12)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) fg somo la 9 ¶6-7 (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
“Onyesha Upendo Katika Familia”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Onyesha Upendo Usioshindwa Katika Familia.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 9 ¶27-32, sanduku 9C na 9D
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 111 na Sala