Machi 21-27
1 SAMWELI 16-17
Wimbo 7 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Vita Ni vya Yehova”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Sa 16:14—Ni katika maana gani Sauli alipata “roho mbaya kutoka kwa Yehova”? (it-2 871-872)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 16:1-13 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 11)
Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 3) Mwalike mfanyakazi mwenzako, mwanafunzi, au mtu wako wa ukoo ambaye umewahi kumhubiria. (th somo la 2)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Mfanyie ziara ya kurudia mtu ambaye alikubali mwaliko wa Ukumbusho na alionyesha upendezi. (th somo la 4)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 3) Mfanyie ziara ya kurudia mtu ambaye alikubali mwaliko wa Ukumbusho na alionyesha upendezi. Mwelekeze kwenye tovuti yetu. (th somo la 20)
MAISHA YA MKRISTO
“Njia Tatu za Kumtegemea Yehova”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Hatuhitaji Kuogopa Mateso.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 22 ¶10-22
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 13 na Sala