Juni 29–Julai 5
KUTOKA 4-5
Wimbo 3 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Nitakuwa Pamoja Nawe Utakapokuwa Ukizungumza”: (Dak. 10)
Kut 4:10, 13—Musa alihisi hakuwa na uwezo wa kutimiza mgawo wake (w10 10/15 13-14)
Kut 4:11, 12—Yehova alimhakikishia kwamba atamsaidia (w14 4/15 9 ¶5-6)
Kut 4:14, 15—Yehova alimweka rasmi Haruni amsaidie Musa (w10 10/15 14)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 4:24-26—Huenda ni sababu gani iliyomfanya Sipora amwite Yehova “bwana harusi wa damu”? (w04 3/15 28 ¶4)
Kut 5:2—Ni katika maana gani Farao hakumjua Yehova? (it-2 12 ¶5)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 4:1-17 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwalike kwenye mikutano yetu. (th somo la 2)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa chapisho la funzo. (th somo la 4)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) bhs 100 ¶15-16 (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
“Jinsi ya Kutumia Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo”: (Dak. 5) Mazungumzo.
“Unaweza Kuhubiri na Kufundisha!”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Uwe Jasiri Ukiwa . . . Mhubiri.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 121
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 73 na Sala