Februari 25–Machi 3
WAROMA 9-11
Wimbo 25 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mfano wa Mzeituni”: (Dak. 10)
Ro 11:16—Mzeituni unafananisha kutimizwa kwa kusudi la Mungu kuhusiana na agano la Kiabrahamu (w11 5/15 23 ¶13)
Ro 11:17, 20, 21—Watiwa-mafuta waliopandikizwa kwenye mzeituni huo wa mfano wanapaswa kuendelea kudhihirisha imani (w11 5/15 24 ¶15)
Ro 11:25, 26—Idadi kamili ya Waisraeli wa kiroho “wataokolewa” (w11 5/15 25 ¶19)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ro 9:21-23—Kwa nini tunapaswa kujitiisha tunapofinyangwa na yule Mfinyanzi Mkuu, Yehova? (w13 6/15 25 ¶5)
Ro 10:2—Kwa nini tunapaswa kuwa na uhakika kwamba ibada yetu inategemea ujuzi sahihi? (it-1 1260 ¶2)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ro 10:1-15 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 6)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo la ziara ya kurudia ya pili, kisha anzisha funzo la Biblia ukitumia kitabu Biblia Inatufundisha. (th somo la 9)
MAISHA YA MKRISTO
“Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kusitisha Mafunzo ya Biblia Yasiyo na Matokeo”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 56
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 36 na Sala