Privacy Settings

To provide you with the best possible experience, we use cookies and similar technologies. Some cookies are necessary to make our website work and cannot be refused. You can accept or decline the use of additional cookies, which we use only to improve your experience. None of this data will ever be sold or used for marketing. To learn more, read the Global Policy on Use of Cookies and Similar Technologies. You can customize your settings at any time by going to Privacy Settings.

Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

Tumia Sanduku Letu la Vifaa vya Kufundishia kwa Ustadi

Tumia Sanduku Letu la Vifaa vya Kufundishia kwa Ustadi
Kumhubiria mtu kwa kutumia Biblia na broshua

Kufanya mwanafunzi ni kama kujenga nyumba. Ili ujenge kwa njia inayofaa, lazima ujifunze kutumia vifaa vyako vizuri. Tunahitaji hasa kusitawisha ustadi wa kutumia kifaa chetu kikuu, yaani, Neno la Mungu. (2Ti 2:15) Pia, tunahitaji kutumia kwa ustadi machapisho na video zilizo katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia—tukiwa na lengo la kufanya wanafunzi. *

Unaweza kuboreshaje ustadi wako wa kutumia vifaa vilivyo katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia? (1) Mwombe mwangalizi wa kikundi chako cha utumishi msaada, (2) hubiri pamoja na mhubiri mwenye uzoefu au painia, na (3) ufanye mazoezi, tena na tena na tena. Kadiri unavyopata ustadi wa kutumia machapisho na video hizo, utapata shangwe inayotokana na kazi ya ujenzi wa mfano inayoendelea sasa hivi.

MAGAZETI

Mnara wa Mlinzi
Amkeni!

BROSHUA

Msikilize Mungu Uishi Milele
Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?
Habari Njema Kutoka kwa Mungu!

VITABU

Biblia Inatufundisha Nini?
Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu

TRAKTI

Una maoni gani kuhusu Biblia?
Una maoni gani kuhusu wakati ujao?
Ni nini siri ya kuwa na familia yenye furaha?
Ni nani hasa anayeuongoza ulimwengu?
Je, kuteseka kutaisha?
Je, kweli wafu wataishi tena?
Ufalme wa Mungu ni nini?
Tutapata wapi majibu ya maswali muhimu maishani?

VIDEO

Kwa Nini Ujifunze Biblia?
Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia?
Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme?
Mashahidi wa Yehova Ni Nani?

MIALIKO

Mwaliko wa Kuhudhuria Mikutano

KADI ZA MAWASILIANO

Kadi ya mawasiliano

^ fu. 3 Machapisho fulani ambayo hayapatikani katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia yalikusudiwa watu fulani hususa. Unaweza kutumia machapisho hayo inapofaa.