Zaburi 124:1-8

Wimbo wa Mipando. Wa Daudi. 124  “Kama Yehova hangekuwa upande wetu,”+Sasa Israeli na aseme,+   “Kama Yehova hangekuwa upande wetu+Watu waliposimama dhidi yetu,+   Ndipo wangetumeza hata tukiwa hai,+Hasira yao ilipokuwa inawaka juu yetu.+   Ndipo maji yangetufagilia mbali,+Mto wenyewe ungepita juu ya nafsi yetu.+   Ndipo yangepita juu ya nafsi yetuMaji ya kimbelembele.+   Na abarikiwe Yehova, ambaye hakututoa+Tuwe mawindo kwa meno yao.+   Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+   Msaada wetu uko katika jina la Yehova,+Mtengenezaji wa mbingu na dunia.”+

Maelezo ya Chini