Hamia kwenye habari

FEBRUARI 6, 2025
URUSI

Ndugu Aleksandr Sazhin

“Hakuna Kitu Chenye Thamani Kuliko Uhusiano Wangu na Yehova”

“Hakuna Kitu Chenye Thamani Kuliko Uhusiano Wangu na Yehova”

Januari 28, 2025, Mahakama ya Jiji la Fokinskiy iliyo katika Eneo la Primorye ilimhukumu Ndugu Aleksandr Sazhin kifungo cha nje cha miaka mitatu. Hahitaji kwenda gerezani wakati huu.

Maelezo Mafupi Kumhusu

Kama Aleksandr, tuna uhakika kwamba hata tukipoteza chochote kwa sababu ya imani yetu, tunaweza ‘kufurahi na kushangilia sana, kwa kuwa thawabu yetu ni kubwa mbinguni.’​—Mathayo 5:12.