Privacy Settings

To provide you with the best possible experience, we use cookies and similar technologies. Some cookies are necessary to make our website work and cannot be refused. You can accept or decline the use of additional cookies, which we use only to improve your experience. None of this data will ever be sold or used for marketing. To learn more, read the Global Policy on Use of Cookies and Similar Technologies. You can customize your settings at any time by going to Privacy Settings.

Kijana aliyeonyeshwa katika makala zilizopita, anatazama ramani akiwa katika njia inayoelekea mlimani. Mbele yake kuna vibao vinavyoonyesha njia tofauti-tofauti, na kwa mbali kilele cha mlima kinaonekana.

Unaweza Kupata Wapi Mwongozo Unaotegemeka?

Unaweza Kupata Wapi Mwongozo Unaotegemeka?

Katika ulimwengu wetu unaobadilika haraka, unawezaje kuwa na uhakika kwamba maamuzi unayofanya yatakuwa na matokeo mazuri? Unawezaje kuwa na uhakika kwamba mambo yanayoonwa kuwa mema leo hayataonekana kuwa mabaya kesho?

Biblia inaweza kukusaidia kufanya maamuzi ambayo hutajutia. Hilo linawezekanaje? Biblia imetoka kwa Muumba wetu, naye anajua mambo yanayoweza kutupatia furaha ya kweli na kutufanya tuhisi tukiwa salama.

“Amekuambia yaliyo mema.”— Mika 6:8.

Tunaweza kuiamini hekima iliyo kwenye Biblia. ‘Inategemeka sikuzote, sasa na milele.’—Zaburi 111:8.

Kwa nini usichunguze jinsi Biblia inavyoweza kukusaidia katika ulimwengu huu unaobadilika haraka?